Translate

Sunday, May 13, 2012

SIMBA YATOLEWA KATIKA MASHINDANO YA KIMATAIFA

Wawakilishi pekee katika mashindano hayo ya kimataifa simba sports club ya Tanzania,imeondolewa leo katika mashindano hayo baada ya kukubali kipigo cha 9-8 kwa njia ya matuta toka kwa timu ya Al ahly shandy ya sudan.

No comments: