Translate

Sunday, July 22, 2012

NDUGU, JAMAA NA MARAFIKI WALIOFIKA KUMTEMBELEA KAJALA GEREZANI


Pichani ni washkaji zake Kajala walioenda kumtembelea mida hii pale gereza la Segerea na kuanzia kushoto ni Producer Lamar, Producer P.Funk Majani mbele yake ni Shilole msanii wa Bongo Fleva na anayefuatia ni B12 kutoka Clouds FM, VJ Penny, Sam Misago kutoka EATV na meneja wa Ommy Dimpozi anaitwa Muba.

No comments: