Translate

Friday, September 20, 2013

NI YULE ALIYEDAI KUBAKWA NA MBUNGE GODBLESS LEMA





"Eeh jamani kweli UKISTAAJABU YA MUSSA UTAYAONA YA FIRAUNI, huyu ni Flora Bahati Lyimo yule mwanamama aliyedai kubakwa na muheshimiwa Godbless Lema.. kama mama zetu kama hawa wanapiga picha za hivi nakupost kwenye mitandao TENA BLOG YAKE MWENYEWE sijui wanatufundisha nini sisi watoto wao, nimesikitika sana baada yakuona picha hizi huku mwenyewe akionekana hana habari kama kavaa nguo za heshima yupo msikitini anaswali.. 
Sasa hapa akiendeleza ile stori yake ya kubakwa si watu watamuona chizi na anamsingizia Muheshimiw!!! MButa Nanga!!!! KAnisapuraizi kweli jaman, haya jamani NA TUMUACHE ALALE MRS ERICK"

No comments: