Translate

Friday, July 27, 2012

MRISHO NGASA,YEYE NA YANGA TU !!


akiwa anashangilia goli kwa mashabiki wa Yanga baada ya kufunga goli la pili huku la kwanza likiwa limefungwa na John Bocco na hivyo kuchukua ushindi wa 2-1 dhidi ya AS VITA ya Congo DRC.

No comments: