Translate

Friday, November 29, 2013

KUTOKA KATIKA UKURASA WA INSTAGRAM maindasmallbabay(MAINDA)

 
Salamu zenu gazeti la KIU nyinyi mlio niandika mainda kilio plz plz tuheshimiane sitaki kuandikwa  kwa ujinga sipendi kuanikwa kwenye magazeti msitake niongee kwanza mnamzungumzia mtu ambae hana faida kwangu huyo RAY nani amekuwa Mungu mtu plz nadhani mnamzungumzia mtu ambae kwangu namuona kama takataka ni hivi mnamengi ya kuandika ingekuwa vyema mgeandika mambo yanayo wahusu wenyewe me msiniingize kwani siwezi kumzungumzia mtu ambae hana mbele wala nyuma ktk maisha yangu. nadhani mnamengi yakuandika,kwanza mnamzungumzia RAY gani? ray mwenye kashifa za ngono kila siku au New ray.. me sielewi Mnamzungumzia Ray gani niacheni niko na Amani zangu na maisha yangu au ukimya wangu unawaumiza mnataka niongee kama mmekosa ya kuandika naomba niwakumbushe Ebu jaribuni kumsafisha huyo mwanaume na sikunichanganya nae ktk habari zake za kishetani mumsafishe na ile kashifa yake ya kutembea na mwanafunzi kwanza hadi kesi kufika polisi ndio muanze kunichafua mimi.mnapo muandika huyo mtu na kuniweka sura yangu na kuniandika jina langu ni kunishushia heshima yangu.ni hivi hakuna atakae nifanya nikashuka au kukata tamaa ktk maisha. mwenzenu huko sipo andikeni vyovyote wala hamnishitui mwenzenuniko busy . haaaa haaaa haaa mnajipya  lakuandika kama hamna msafisheni huyo star wenu asie kauka kashifa kila siku mjini oiweeeeee niacheni mie nifanye yangu haya sasa lolote liwe ila sijaumbiwa maisha ya kumuogopa mtu haaaa aahhaa mbona andikeni na anavyokuja kuomba na kutoa pesa ili kashifa zake zisiandikwe ili mziminye basi mniache nisije nikatapika mengi hadi nyongo itoke nyekundu. mkinianza sitawaacha nitawamaliza akuanzae we mmalize  hii dunia ukiogopa sana mwanadamu utakuwa mtumwa.
ndio nishaongea najiamini coz nina YESU ndani yangu alafu huwa sipendi kujumuishwa kwenye upumbavu.
et star jamani uchafu mtupu kwa kweli bongo bwanaaaa acha ninyamaze.by smallbaby mainda .

No comments: