Translate

Monday, May 19, 2014

NI MSIBA MKUBWA KWA TASNIA YA FILAM KWA UJUMLA

Tasnia ya filamu Tanzania imepatwa na pigo la kuondokewa na aliyekuwa muigizaji – muongozaji  ‘adam Kuambiana aliyefariki Dunia  wakati akipelekwa kwenye hospitali ya Mama Ngoma iliyopo eneo la Mwenge jijini Dar es salaam kwa ajili ya matibabu.
Kuambiana alikumbwa na umauti baada ya kuanguka chooni wakati akiwa location katika hoteli ya Silver rado iliyopo Sinza kwa Remy .
Filamu zilizowahi kumpatia umaarufu ni pamoja na Fake Pastors aliyoigiza  na Vicent Kigosi, Regina, Faith More na Lost Twins. Blog ya Larrybway91 inawapa pole wafiwa wote waliofikwa na msiba huu.
MUNGU AI LAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALA PEMA PEPONI AMEEN

No comments: