Translate

Thursday, April 11, 2013

BINTI WA KENYA AMBAE KAANDIKWA ZAIDI KWENYE MITANDAO TOFAUTI





Utafiti uliofanywa kwenye mitandao ni video queen gani
alieandikwa kwenye mitandao
Imebainika ni video Queen kutoka Kenya...Mrembo
 huyo alietokea kwenye video
ya P-Unit vera sidika a.k.a Beiby Vee ndio ameandikwa
sana kwenye Intanet.........Ameandikwa
mara 120 kwenye intaneti......

Lakini kasoro iliingia kwenye video hiyo baada ya siku chache kutoka
taarifa zilizaga kutoka kenya kwamba video hiyo imefungiwa
kurushwa kwenye kitu cha television CITZEN TV.....,
Kutokana na ukali wa picha Hasa za Huyu Mrembo...!!

No comments: